Skip to main content

UNHCR imeonya wahamiaji wa JKK katika Burundi wasirejee makwao kwa sababu ya hali mbaya ya usalama

UNHCR imeonya wahamiaji wa JKK katika Burundi wasirejee makwao kwa sababu ya hali mbaya ya usalama

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limerudia tena onyo kwa wahamiaji Wakongomano waliopo Burundi, kutorejea makwao katika Kivu Kusini.