Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM Ban Ki-moon ampongeza Raisi Obama kwa ushindi wa Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2009

KM Ban Ki-moon ampongeza Raisi Obama kwa ushindi wa Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2009

Leo asubuhi KM Ban Ki-moon amekaribisha kidhati tangazo la kuwa Raisi Barack Obama wa Marekani amezawadiwa Tunzo ya Amani ya Nobel kwa 2009.