Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Tume ya UM yagundua makosa ya jinai yalitendeka na pande zote Ghaza

Tume ya UM yagundua makosa ya jinai yalitendeka na pande zote Ghaza

Asubuhi ya leo, Jaji Richard Goldstone wa Afrika Kusini aliyeongoza Tume Maalumu ya Baraza la Haki za Binadamu iliodhaminiwa jukumu la kutathminia taathira za mashambulio ya vikosi vya Israel katika Tarafa ya Ghaza, aliwasilisha matokeo ya uchunguzi wao kwenye mkutano na waandishi habari wa kimataifa hapa Makao Makuu.