Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Takwimu za WHO juu ya Homa ya A(H1N1)

Takwimu za WHO juu ya Homa ya A(H1N1)

Takwimu mpya za Shirika la Afya Duniani (WHO) juu ya maambukizi ya homa ya mafua ya A(H1N1) zinasema nchi 34 zimethibitisha rasmi kugundua wagonjwa waliopatwa na maradhi haya kwenye maeno yao.