Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baraza la Usalama lashtumu vikali kundi la LTTE Sri Lanka kwa "ugaidi ulioselelea"

Baraza la Usalama lashtumu vikali kundi la LTTE Sri Lanka kwa "ugaidi ulioselelea"

Ijumatano Baraza la Usalama limearifu kuingiwa wahka mkuu juu ya kuongezeka kwa uharibifu wa hali ya kiutu katika Sri Lanka, kwa sababu ya mapigano makali katika Sri Lanka baina ya vikosi vya Serikali na kundi la wapinzani la LTTE.