Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

FAO inaeleza kwamba bei za chakula katika nchi maskini zingali juu

FAO inaeleza kwamba bei za chakula katika nchi maskini zingali juu

Shirika la chakula na kilimo la UM FAO limesema takwimu za bei za chakula katika mataifa 55 yanayoendelea kuanzia Afghanistan hadi Zimbabwe zingali juu kuliko bei zilizoko katika masoko ya kimataifa.