Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM akutana na BU kabla ya kuelekea Mashariki ya Kati kusailia Ghaza

KM akutana na BU kabla ya kuelekea Mashariki ya Kati kusailia Ghaza

Baada ya kuonana na Baraza la Usalama asubuhi ya leo, KM Ban Ki-moon alitarajiwa kuanza ziara maalumu ya Mashariki ya Kati kwa lengo la kuongeza juhudi za kimataifa, katika kutafuta suluhu ya kudumu juu ya mzozo ulioselelea hivi sasa kwenye eneo liliokaliwa, la mapigano, la WaFalastina katika Tarafa ya Ghaza.