Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM unaadhimisha na kuhishimu Siku ya Kimataifa kwa Watu Walemavu

UM unaadhimisha na kuhishimu Siku ya Kimataifa kwa Watu Walemavu

KM Ban Ki-moon leo asubuhi, kwenye risala alioitoa kuadhimisha Siku ya Kimataifa kwa Watu Walemavu alisema asilimia 80 ya umma huu – inayokadiriwa kujumlisha walemavu milioni 400 ziada – wanaishi katika nchi maskini – na ni wajibu wa serikali zote za nchi wanachama katika UM kukomesha duru ya ufukara na ulemavu.