Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uteuzi wa Barack Obama kuwa raisi mpya Marekani wapongezwa na KM

Uteuzi wa Barack Obama kuwa raisi mpya Marekani wapongezwa na KM

KM Ban Ki-moon alipokutana na waandishi habari kwenye Makao Makuu ya UM alimpongeza Seneta Barack Obama kwa kushinda uchaguzi wa uraisi katika Marekani:~~