Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ukame Ethiopia wahatarisha umma

Ukame Ethiopia wahatarisha umma

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imetahadharisha ya kuwa ukame wa muda mrefu ulioselelea nchini Ethiopia sasa hivi unabshiriwa utaendelea katika eneo hilo, mpaka mwakani.