Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashambulio dhidi ya NGOs yamekithiri Chad, imeonya OCHA

Mashambulio dhidi ya NGOs yamekithiri Chad, imeonya OCHA

Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) imeripoti mashambulio yamezidi dhidi ya mashirika yasio ya kiserikali (NGOs) katika Chad mashariki. OCHA imesema watumishi wingi wa mashirika yasio ya kiserikali wameondoshwa Chad kwa sababu ya hatari wanayokabiliwa nayo kimaisha. Kwa mujibu wa OCHA, mnamo miezi 10 iliopita wahudumia misaada ya kiutu kutoka mashirika hayo walishambuliwa zaidi ya mara 120.~