Wasomali waliong'olewa makazi waathiriwa na mafuriko mazito nchini
Katika Usomali mvua kubwa na pepo kali zilipiga karibuni kwenye yale maeneo zilipo kambi za makazi ya muda ya wahamiaji wa ndani ya nchi. Msemaji wa UNHCR Geneva, Ron Redmond aliwapatia waandishi habari wa kimataifa taarifa zaidi juu ya tukio hilo:~