Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kamati ya haki za walemavu kuteuliwa rasmi

Kamati ya haki za walemavu kuteuliwa rasmi

Asubuhi ya leo, kwenye Makao Makuu ya UM mjini New York, kikao cha awali cha Mataifa Yalioridhia na Kuidhinisha Mkataba wa Haki za Watu Walemavu kilikutana rasmi kuchagua wajumbe 12 wa kutumikia Kamati juu ya Haki za Watu Walemavu. ~