UM inayakumbusha makundi yanayohasimiana Kivu Kaskazini wajibu wa kisheria kulinda haki za raia
Navi Pillay, Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu naye pia ameripoti wasiwasi kuhusu taarifa za kuzidi kwa mauaji ya kihorera na ukiukaji wa haki za binadamu uliosajiliwa kufanyika katika siku za karibuni katika jimbo la Kivu Kaskazini, kwenye JKK.