Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanaharakati wa haki za binadamu Kenya azungumzia ushirikiano na UM

Mwanaharakati wa haki za binadamu Kenya azungumzia ushirikiano na UM

Mnamo mwanzo wa wiki mwanaharakati anayepigania haki za binadamu Kenya, James Maina Kabutu alikuwa na kikao maalumu cha ushauri na Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF). Mwanaharakati huyu anawakilisha mashirika mawili ya kiraia yajulikanayo kama Hema la Katiba na Bunge la Mwananchi.

Sikiliza mahojiano kamili kwenye idhaa ya mtandao.