Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BU limeafikiana kuongeza muda wa UNAMID Darfur

BU limeafikiana kuongeza muda wa UNAMID Darfur

Baraza la Usalama Alkhamisi usiku lilipitisha azimio la kuongeza, kwa mwaka mmoja zaidi, muda wa vikosi vya mchanganyiko vya UA na UM katika Darfur (UNAMID) kuendeleza operesheni zao za kulinda amani Sudan magharibi hadi tarehe 31 Julai 2009.

Sikiliza taarifa zaidi kwenye idhaa ya mtandao.