Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Haki Zimbabwe lazima itimiziwe waathiriwa wa vurugu la uchaguzi, anasihi Arbour

Haki Zimbabwe lazima itimiziwe waathiriwa wa vurugu la uchaguzi, anasihi Arbour

Louise Arbuor, Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu amenakiliwa akisema kwamba angependa kuona haki inakamilishwa Zimbabwe, mapema iwezekanvyo, dhidi ya wale watu walioshiriki kwenye kampeni za kisiasa, zilizokiuka maadili ya kiutu, na zilizochafua utaratibu wa kidemokrasia nchini humo, kufuatilia duru ya kwanza ya uchaguzi wa taifa mnamo Machi 29 (2008).~