UNHCR kuhudumia waathiriwa wa hujuma za wageni Afrika Kusini
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR)limeripoti kushiriki kwenye juhudi za kuhudumia misaada ya kihali wale wahamiaji walioathirika karibuni na mashambulio ya chuki za wageni, yaliotukia katika jimbo la Gauteng, kaskazini mashariki katika Afrika Kusini.