Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashauriano ya wapatanishi wa UM/UA kwa Darfur yamemalizika Geneva

Mashauriano ya wapatanishi wa UM/UA kwa Darfur yamemalizika Geneva

Wajumbe Wapatanishi wa Umoja wa Mataifa (UM) na Umoja wa Afrika (UA) kwa Darfur, yaani Jan Eliasson na Salim Ahmed Salim, Ijumanne mjini Geneva walimaliza mashauriano yao ya siku mbili, yasio rasmi, pamoja na washirika wenzi wa kieneo na pia waangalizi wa kimataifa.