Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNMEE inakhofia usalama kuharibika mipakani Ethiopia/Eritrea

UNMEE inakhofia usalama kuharibika mipakani Ethiopia/Eritrea

Shirika la UM juu ya Operesheni za Amani Mipakani Ethiopia na Eritrea (UNMEE) limeripoti kuwa na wasiwasi kuhusu utulivu wa mipaka kwenye Eneo la Usalama wa Muda (TSZ), baada ya kutukia mashambulio ya risasi karibuni katika Tsorena, eneo iliopo upande wa Eritrea.