KM anatumai uamuzi wa kuitisha mkutano wa kusailia hali katika Kivu utawasilisha amani
UM umepongeza uamuzi uliofikiwa karibuni na Serikali ya JKK pamoja na wakazi wa majimbo ya Kivu Kusini na Kaskazini kuitisha Mkutano wa Kuzingatia masuala ya Amani, Usalama na Maendeleo katika eneo lao lenye matatizo.