Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM umeshirikiana na Sudan kuchanja watoto dhidi ya polio

UM umeshirikiana na Sudan kuchanja watoto dhidi ya polio

Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Watoto (UNICEF) yakijumuika na Wizara ya Afya ya Sudan yameendeleza huduma za pamoja za kuwachanja polio watoto wachanga katika Sudan kuanzia tarehe 23 hadi 25 Oktoba.