Skip to main content

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali kuzuru Mogadishu

Mjumbe Maalumu wa KM kwa Usomali kuzuru Mogadishu

Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu kwa Usomali, Ahmed Ould Abdallah karibuni alifanya ziara rasmi Mogadishu na kuwa na mazungumzo na viongozi wa Serekali ya Mpito, wakiwemo Raisi na Waziri Mkuu. Abdallah kwenye majadiliano yake aliyahimiza makundi yote husika na mgogoro wa Usomali kutekeleza kikamilifu mapendekezo ya ule mwafaka wa Mkutano wa Upatanaishi wa Taifa.