Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wataalamu wa UM walaumu haki za binadamu zinakiukwa Darfur

Wataalamu wa UM walaumu haki za binadamu zinakiukwa Darfur

Wataalamu saba wa tume ya UM wenye dhamana ya kufuatilia namna haki za binadamu zinavyotekelezwa katika jimbo la Sudan magharibi la Darfur wamewakilisha wiki hii ripoti ya muda mjini Geneva mbele ya Halmashauri ya Haki za Binadamu.