Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mataifa Wanachama yasailia tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa duniani

Mataifa Wanachama yasailia tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa duniani

Wawakilishi kutoka nchi mataifa 150 ziada, walijumuika kwenye Makao Makuu ya UM kujadilia tatizo la mabadiliko ya hali ya hewa duniani, na namna ya kukabiliana na suala hili kwa taratibu zitakazoletea natija, badala ya madhara, kwa umma wa kimataifa. Kikao hiki muhimu kiliandaliwa na KM Ban Ki-moon.

Sikiliza ripoti kamili kwenye idhaa ya mtandao.