Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yapongeza Misri kupiga marufuku kukeketwa wasichana

UNICEF yapongeza Misri kupiga marufuku kukeketwa wasichana

Shirika la watoto la umoja wa mataifa UNICEF limepongeza hatua kadhaa zilizochukuliwa na Misri wiki iliyopita kuondowa mila ya kukeketwa wasichana, baada ya kufariki kwa msichana mwenye umri wa miaka 12 kutokana na kukeketwa.