Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ethopia: mkuu wa haki za binadam wa UM apongeza kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa.

Ethopia: mkuu wa haki za binadam wa UM apongeza kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa.

Kamishna mkuu wa haki za binadam wa UM amekaribisha msamaha na kuachiliwa hivi karibuni zaidi ya viongozi wa kisiasa na wakereketwa 30 huko Ethopia na kuhimiza kuwepo na utaratibu wa haki kwa madarzeni ya washtakiwa ambao baado kesi zao hazi kumalizika.