Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watuhumiwa wanne wa jinai ya jinsia warudishwa Bangladesh kutoka Sudan

Watuhumiwa wanne wa jinai ya jinsia warudishwa Bangladesh kutoka Sudan

Shirika la UM juu ya Huduma za Amani katika Sudan (UNMIS)limethibitisha kwenye ripoti iliyotoka majuzi kwamba wanajeshi wanne wa Bangladesh, waliotuhumiwa makosa ya kijinsiya katika eneo la Juba, Sudan walilazimika kurejeshwa makwao miezi michache iliopita.