5 Januari 2007
Shirika la UM juu ya Huduma za Amani katika Sudan (UNMIS)limethibitisha kwenye ripoti iliyotoka majuzi kwamba wanajeshi wanne wa Bangladesh, waliotuhumiwa makosa ya kijinsiya katika eneo la Juba, Sudan walilazimika kurejeshwa makwao miezi michache iliopita.