WFP itaisaidia Kenya kumudu upungufu wa nafaka, madhara ya ukame na chakula ghali
Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa wiki hii litatuma timu ya watathmini wataalamu, kukadiria mahitaji halisi ya chakula kwenye yale maeneo ya Kenya yanaosumbuliwa na upungufu wa mvua mnamo mwaka uliopita.