BU lazingatia ripoti kuhusu hali Sudan
Baraza la Usalama leo limezingatia Ripoti ya KM kuhusu Hali katika Sudan. Vile vile Baraza limesailia operesheni za Shirika la UM Linalohusika na Mapatano ya Amani ya Jumla baina ya Sudan Kaskazini na Kusini. Tutajaribu kukupatieni dokezo ya kikao hicho mnamo siku zijazo.