Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jarida 22 Septemba 2021

Jarida 22 Septemba 2021

Pakua

Ikiwa leo ni Jumatano  tarehe 22 Septemba 2021 siku ya pili ya mjadala mkuu wa mikutano ya ngazi ya juu ya Umoja wa Mataifa #UNGA76 karibu kusikiliza jarida ambapo kubwa utakalo sikia leo ni miaka 20 baada ya azimio la Durban kuhusu kupinga ubaguzi hali ipoje?. Utasikia mahojiano mbalimbali kutoka nchini Kenya na Tanzania. 

 

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
14'20"