Jarida 22 Septemba 2021
Ikiwa leo ni Jumatano tarehe 22 Septemba 2021 siku ya pili ya mjadala mkuu wa mikutano ya ngazi ya juu ya Umoja wa Mataifa #UNGA76 karibu kusikiliza jarida ambapo kubwa utakalo sikia leo ni miaka 20 baada ya azimio la Durban kuhusu kupinga ubaguzi hali ipoje?. Utasikia mahojiano mbalimbali kutoka nchini Kenya na Tanzania.