Skip to main content

Chuja:

Vitabu

Jarida 22 Septemba 2021

Ikiwa leo ni Jumatano  tarehe 22 Septemba 2021 siku ya pili ya mjadala mkuu wa mikutano ya ngazi ya juu ya Umoja wa Mataifa #UNGA76 karibu kusikiliza jarida ambapo kubwa utakalo sikia leo ni miaka 20 baada ya azimio la Durban kuhusu kupinga ubaguzi hali ipoje?. Utasikia mahojiano mbalimbali kutoka nchini Kenya na Tanzania. 

 

Sauti
14'20"
© UNHCR/Mohamed Aden Maalim

UNESCO yautangaza mji wa Accra kuwa mji mkuu wa dunia wa vitabu kwa mwaka 2023

Mji mkuu wa Ghana, Accra umetangazwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO kuwa mji mkuu wa dunia wa vitabu kwa mwaka 2023.

Taarifa ya UNESCO iliyotolewa Paris, Ufaransa hii leo imemnukuu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo Audrey Azoulay akisema kuwa hatua hiyo inazingatia tathmini ya kamati ya ushauri ya miji ya vitabu ya dunia baada ya kupitia andiko la Accra la kupanua wigo wa usomaji vitabu.

Sauti
1'42"