Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

12 Julai 2021

12 Julai 2021

Pakua

Jaridani hii leo na Assumpta Massoi tutasikia habari kwa ufupi lakini pia tutasikia kuhusu hatua zilizopigwa katika kutimiza malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania hususan lengo namba tatu la upatikanji ya huduma ya afya kwa wote.

Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
10'35"