Lugha ya kiswahili ni fursa Watanzania ichangamkieni : Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema Kiswahili lkuwa lugha ya kimataifa ni fursa nzuri na muhimu ambayo watu wa taifa lake wanapaswa kuikumbatia kwa mikono miwili.