Guterres aomba Syria isihambulie Idlib
Pakua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka serikali ya Syria na washirika wake wapige moyo kondo na waachane na mipango yao ya kushambulia zaidi eneo la Idlib nchini Syria.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Sauti
3'1"