Wanaume hawana hofu tena kuoa wasichana wasiokeketwa- UNFPA
Pakua
Ali Haji Hamad, Afisa Jinsia wa UNFPA Tanzania anaangazia;
Hali ya ukeketaji nchini Tanzania hivi sasa iko vipi?
Nini hasa kichocheo cha mafanikio hayo?
Maghariba imekuwa ni vigumu sana kuachia zana zao kwa kuwa ni mbinu ya kujipatia kipato. Nini kimefanyika?
Bila kukeketwa wasichana wanaona aibu kuolewa na wavulana wanaona aibu kuoa mwanamke hajakeketwa. Nini kimefanyika kubadili mtazamo?
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
6'15"