Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mfumo wa afya Gaza umeelemewa - Mashirika

Mfumo wa afya Gaza umeelemewa - Mashirika

Pakua

Licha ya mashambulizi dhidi ya vituo vya afya na makazi ya watu katika Ukanda wa Gaza, mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa yanaendelea kujitahidi usiku na mchana kuhakikisha watu wanapata huduma ya afya ili kuokoa maisha yao lakini ni wazi kwamba hali inazidi kuwa mbaya kila uchao. Anold Kayanda amefuatilia suala hili na kutuandalia mada hii kwa kina. 

Audio Credit
Leah Mushi/Anold Kayanda
Sauti
4'2"
Photo Credit
© UNFPA/Bisan Ouda