METHALI: JINO LA PEMBE SI DAWA YA PENGO
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mkuu wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anachambua methali, "Jino la Pembe si dawa ya pengo".
Audio Credit
Dkt. Mwanahija Ali Juma
Audio Duration
1'40"