Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

21 Juni 2022

21 Juni 2022

Pakua

Hii leo jaridani Leah Mushi anakuletea Mada kwa Kina inayotoka huko nchini Uganda kwake John Kibego ambaye amevinjari na kuzungumza na wakimbizi kuhusu simulizi za kule walikotoka na waliko hivi sasa .Mazingira yako vipi? Mmoja anasema, "tulichoshwa na vitendo vya kubakwa." Pia kuna habari kwa ufupi ikiangazia ongezeko la idadi ya watu wanaosaka hifadhi katika nchi ya tatu; sakata la elimu kwa watoto wanaoishi kwenye maeneo ya mizozo na pia uzinduzi wa apu ya kumwezesha mtu kufahamu wakati wa kutumia mafuta ya kuepusha mionzi mikali ya jua mwilini. Karibu!

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
11'37"