Ubinadamu lazima ushinde vita dhidi ya vita - Zambia
Wakati ulimwengu kwa sasa unakabiliana na changamoto lukuki zikiwemo vita, athari za mabadiliko ya tabianchi na ukosefu wa chakula, Waziri wa Mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa wa Zambia Stanley Kakubo amesema gharama ya vita kwa ubinadamu ni kubwa.