Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

19 Novemba 2021

19 Novemba 2021

Pakua

Karibu kusikiliza jarida ambapo leo Flora Nducha anakuletea mada kwa kina ikijikita kuangalia changamoto zinazowakabili wakimbizi wa ndani ikiwemo huduma ya vyoo eneo la Uvira nchini DRC wakati dunia leo ikiadhimisha siku ya choo.

Audio Credit
FLORA NDUCHA
Audio Duration
10'50"