Skip to main content

Chuja:

vifo

19 Novemba 2021

Karibu kusikiliza jarida ambapo leo Flora Nducha anakuletea mada kwa kina ikijikita kuangalia changamoto zinazowakabili wakimbizi wa ndani ikiwemo huduma ya vyoo eneo la Uvira nchini DRC wakati dunia leo ikiadhimisha siku ya choo.

Sauti
10'50"
Huduma za dharura baada ya ajali kutokea katika moja ya maeneo ya mji wa New  York, nchini Marekani. Huduma za haraka huokoa maisha lakini pia UN inataka hatua madhubuti kuzuia ajali hizo.
UN News/Vibhu Mishra

Kila sekunde 24 mtu 1 hupoteza maisha katika ajali barabarani:Guterres 

Hatua za haraka zinahitajika na kusalia kuwa za muhimu sana katika kuokoa maisha ya maelfu na maelfu ya watu yanayopotea kila siku katika ajali za barabarani. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe maalum wa kuadhimisha siku ya kimataifa ya usalama barabarani ambayo kila mwaka huadhimishwa Novemba 17. “Natoa wito kwa kila mtu kujiunga nasi katika kushughulikia changamoto ya kimataifa ya janga la usalama barabarani.”

Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa jijini Nairobi walkati wa dakika moja ya ukimwa kuwakumbuka watu waliofariki kwenye ajali ya ndege ya Ethiopia Machi 11, 2019
UN Nairobi/Tirus Wainaina

Simanzi na rambirambi vyaendelea kutawala UN

Simanzi hali ya mshituko na rambirambi vimeendelea kumiminika na kutawaka kwenye Umoja wa Mataifa kufuatia msima mkubwa kwa kuondokewa na wafanyakazi wake 21 kwenye ajali ya ndege ya shirika la ndege la Ethiopia ambayo kwa ujumla imekatili maisha ya watu 157 mwishoni mwa wiki