Bangladesh: Watu 11 wauawa kwenye maandamano, UN yalaani
Ofisi ya Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu, OHCHR imelaani mauaji na matukio ya ghasia kwenye maandamano yanayoendelea nchini Bangladesh wakati huu ambapo nchi hiyo inajiandaa kulekea kwenye uchaguzi mkuu.