Katibu Mkuu wa UN alaani mfululizo wa milipuko nchini Afghanistan
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake mkubwa kufuatia mfululizo wa milipuko inayotokea nchini Afghanistan ambayo imeua na kujeruhi zaidi ya watu 250 mwezi huu wa Agosti, ikiwa ni pamoja na watoto.