22 Julai 2021
Pakua
Jaridani Julai 22, 2021 tunaangazia-
Wakulima Ethiopia waeleza namna wanavyotaka changamoto za kilimo zitatuliwe.
Hali ya chanjo nchini Malawi baada ya UNICEF kuingilia kati.
Wafungwa nchini CAR wapata stadi za maisha baada ya kifungo.
Mashinani tutaelekea kambini nchini Lebanon.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'37"