Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

25 Januari 2021

25 Januari 2021

Pakua

Hii leo mwenyeji wako Grace Kaneiya akiwa Nairobi Kenya anajikita katika mada kwa kina kutoka Zambia ambako shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF linasaidia jimbo la Luapula kuwa na huduma za maji safi na kujisafi. Mashinani anasalia huko huko Kenya na mtoto akizungumzia masomo yalivyorejea sasa baada ya shule kufungwa kutokana na COVID-19 lakini pia kuna habari kwa ufupi. Karibu!

Audio Credit
GRACE KANEIYA
Audio Duration
10'27"