Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

COVID-19 ilitukuta bila kujiandaa, lakini tumejifunza-Wananchi Kenya

COVID-19 ilitukuta bila kujiandaa, lakini tumejifunza-Wananchi Kenya

Pakua

Maadhimisho  ya miaka 75 wa Umoja wa Mataifa yanafanyika wakati dunia inakabiliwa na janga baya zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa miaka mingi, virusi vya corona. Vifo pamoja na hasara nyingine kama kupoteza kazi na biashara, vimerudisha nyuma maendeleo yaliyofikiwa kwa miongo mingi.  Lakini watu wameweza kujifunza nini hasa kutokana na janga hili la virusi vya corona? Mwandishi wetu wa Kenya Jason Nyakundi amezungumza na baadhi ya wananchi wa Kenya. 

Audio Credit
Anold Kayanda/Jason Nyakundi
Audio Duration
3'18"
Photo Credit
UN Kenya/Newton Kanhema