Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hata kama corona imetuingilia, bado tunaamini bado maisha yako mbele-Wanafunzi wakimbizi Uganda

Hata kama corona imetuingilia, bado tunaamini bado maisha yako mbele-Wanafunzi wakimbizi Uganda

Pakua

Makala ifuatayo inamulika changamoto wanazokumbana nazo wanafunzi wakimbizi ambao hivi sasa wanalazimika kusalia majumbani ndani ya kambi baada ya shule kufungwa nchini Uganda ili kukabiliana na COVID-19. Mwandishi wetu John Kibego anazungumuza na wanafunzi Feza Kabera na Shamil Bao Yahaya ambao wanaeleza jinsi gani wanavyohimili vishawishi vya kupata mimba za utotoni na kujiunga na vikundi vya watumiaji madawa ya kulevya miongoni mwa mengine wakati huu wakiwa majumbani katika kambi ya wakimbizi ya Kyangwali.

 

Audio Credit
Loise Wairimu/John Kibego
Sauti
3'37"
Photo Credit
UN/ John Kibego