Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNEP inafungua wigo wa watu kuchangia mawazo yao kwa nini wanaona hivi sasa ni wakati wa asili-Clara Makenya

UNEP inafungua wigo wa watu kuchangia mawazo yao kwa nini wanaona hivi sasa ni wakati wa asili-Clara Makenya

Pakua

Kesho ni siku ya mazingira duniani, siku ambayo imekuwa ikiazimishwa tangu mwaka 1974 kila mwaka ifikapo tarehe 5 ya mwezi Juni. Siku hii inazihusisha serikali, wafanyabiashara, watu maarufu na wananchi  katika kuelekeza juhudi zao kwenye masuala yanayohusu mazingira hususni yle yanayotishia ustawi wa mazingira yenyewe na matokeo mabaya ya athari hizo. Mwaka huu wa 2020, kauli mbiu imejikita katika baionwai.  Clara Makenya ni Mwakilishi wa shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP Tanzania, anaeleza zaidi kuhusu mipango waliyonayo kuiadhimisha siku hii kesho Ijumaa  tarehe 5 Juni.

Audio Duration
3'47"
Photo Credit
UNIC/Stella Vuzo