Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

19 Mei 2020

19 Mei 2020

Pakua

Hii leo tunamulika COVID-19 na athari zake kwa watu wasio na chakula ambapo ripoti inasema umaskini utaua watu zaidi kuliko virusi vyenyewe. Kuelekea siku ya nyuki duniani kesho, tumezungumza na wanahabari wanaofuga nyuki Tanzania. Nchini Kenya madhehebu ya kikatoliki yaunga mkono upanzi wa miti, makala tunatamatishia huko Kakonko mkoani Kigoma na mashinani tunabisha hodi Kenya. Mwenyeji wako ni Flora Nducha.

Audio Credit
Flora nducha
Audio Duration
12'48"