Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

COVID-19 yazidisha changamoto za chakula Uganda

COVID-19 yazidisha changamoto za chakula Uganda

Pakua

 Njanga la virusi vya corona au COVID-19 limewaacha raia wengi nchini Uganda wakiwa na changamoto ya kipato  hali ambayo

imechangia kuongeza changamoto ya uhakika wa chakula.  Mwandishi wetu wa Uganda John Kibego  mevinjari katika maeneo

mbalimbali kuangazia changamotot za upatikanaji wa achakula na lishe wakati huu ambapo mamilioni ya wanannchi wa kipato

cha chini wanakabiliwa na hatua za kuzuia maambukizi ya virusi vya corona kwa kutokwenda kazini, kufanya biashara   na hata

shughuli zingine zinazoweza kuwaingizia kipato cha kukimu mahitaji ya familia zao. Na sasa kwa mujibu wa serikali ya nchi hiyo

hatua za kutotembea zinatarajiwa kuendelea zaidi ya tarehe tano Mei. Je amebaini yapi? ungana naye katika makala hii

inayoangazia pia juhudi za kukabiliana na changamoto hii na mikakati ya kuhakikisha kwamba watu hawatishiwi na njaa kabla au

baada ya corona kutokomezwa.

Audio Duration
4'3"
Photo Credit
World Bank/Maria Fleischmann